Faiza mohammed

Faiza mohammed

Share

Fashion designer ๐ŸŒŸ
Listening ๐ŸŽง๐ŸŽถ music
Smiling queen ๐Ÿ‘‘

Photos from Faiza mohammed's post 28/05/2026

Upweke unauma, lakini mara nyingine ndio sehemu pekee ambayo moyo hupata nafasi ya kusema yote yaliyofichika.. ๐Ÿ’”
Ipo siku utatabasamu huku machozi yakikutoka, ukijua Mungu hakuwahi kukusahau. ๐Ÿค

shifaa ya harraka inshallah ๐Ÿ™

26/05/2026

Rabbana atina fid-dunya hasanatan wa fil โ€˜akhirati hasanatan wa qina โ€˜adhaban-nar.๐Ÿคฒ
Allahumma inni asโ€™aluka al-jannah wa aโ€™udhu bika min an-nar.๐Ÿคฒ๐Ÿคฒ

25/05/2026

๐”๐ง๐š๐œ๐ก๐จ๐ค๐ข๐จ๐ง๐š ๐Š๐ฐ๐š ๐–๐ž๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž, ๐๐๐ข๐จ ๐–๐š๐ง๐š๐œ๐ก๐จ๐จ๐ง๐š ๐Š๐ฐ๐š๐ค๐จ
Kuna kitu wengi hawataki kukubaliโ€”unapokaa kuangalia na kuhukumu madhaifu ya wengine, usijidanganye kuwa wewe uko salama. Ukweli ni huu: watu wanakuangalia kwa jicho hilo hilo. Wanapima tabia zako, wanachambua mapungufu yako, na wanajenga taswira yako kimya kimya.
Tofauti ni kwamba wengine wako busy kujirekebisha, wewe uko busy kuangalia wengine. Hapo ndipo unapoteza mchezo bila kujua.
Ukiona kosa kwa mtu, jiulize kwanzaโ€”je, mimi niko sawa kwenye hilo eneo? K**a hujajijenga, criticism yako haina uzito. Dunia haiheshimu anayesema sana, inaheshimu anayejiboresha.
Anza kufanyia kazi madhaifu yako kimya kimya. Kwa sababu ukichelewa, watu watakuweka kwenye kundi la wale wanaojua kuongea tu, si kutenda. Na hilo kundi halina nafasi ya kushinda.

Photos from Faiza mohammed's post 24/05/2026

Huenda siku moja utanitafuta na usinipate,ila kumbuka nilikuwepo kwaajili yako,lakini hukuwahi kunithamini.๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ
Naweza kujujali bado lakini nikakuchagua kukuondoa kwenye maisha yangu๐Ÿ˜๐Ÿ˜.Naweza kukumiss na lakini nisitamani tena kuzungumza nawe๐Ÿฅน๐Ÿค๐Ÿค๐Ÿค

23/05/2026

Usisahau kuwa, mapambano yetu yako tofauti. Yaani, kuna watu ambao wametokea kwenye familia ambazo wanajipambania wao, Hawana mzigo wa watu wengine.
Lakini, kuna watu ambao wametokea kwenye familia ambazo, inabidi awapambanie wadogo zake na hadi wazazi wake.
Watu hawa Wawili hawawezi kufanana kwenye vipaumbele vyao vya maisha.
Hii ndio maana, usishindane na mtu ambaye hujui aina Yake ya mapambano.
Kuna wakati watu wanaweza kukuona umechelewa sana kupiga hatua, wengine wanaweza kukuona k**a ni mzembe au mtu usiyejielewa.
Wengine wanakulaumu na kukucheka kwa sababu haujajenga, haujanunua gari, hauvai Nguo za gharama n.k Ila hawajui aina ya mapambano unayokabiliana nayo.
Usikate tamaa kwa sababu unaonekana umechelewa ukilinganishwa na wengine.
Endelea kupambana kwa namna iliyo sahihi kwako. Kila mtu yuko ukurasa tofauti wa maisha.

23/05/2026

Mwisho wa mawindo mbwa Hana thamani.
Ni kauli Moja Ina maana kubwa sana kwenye maisha yetu ya Kila siku na kwa baadae.
Fanya vyote ila kuwa na tahadhari lolote linaweza kutokea.
Lengo ni Nini?
Fanya kile ambacho kipo ndani ya uwezo wako ukiwa na tahadhali
Nawatakia siku njema na mafanikio mema kwa ajili ya kujenga uchumi wako.

TUMEELEWANA ๐Ÿ’ฏโœ๏ธโœ๏ธโœ๏ธโœ๏ธโœ๏ธ

22/05/2026

โ€ŽFoleni inayomkera dereva barabarani , ndiyo inayomletea rizki muuza maji...
โ€ŽKuna mchezo unaitwa maisha , hata ukishinda bado utakufa...
โ€ŽMaji machafu hayajawahi kuzuia mmea kukua , usiruhusu maneno hasi yazuie ukuaji wako...
โ€ŽKamwe usichukue amani ya mtu aliyekulia kwenye vita...
โ€ŽNi mito yetu ya kulalia tu , ndio inayojua kiasi cha hisia na machozi tuliyotoa kwa sababu ya watu...
โ€ŽBaada ya mazishi , watu wanapokuwa wameondoka na eneo linapopoa kabisa , hapo ndio mazishi na msiba unaanza kweli...
โ€ŽSubra ni k**a dawa radha yake ni chungu lakini matokeo yake ni mazuri.

21/05/2026

Inawezekana kua hilo penzi lako lishakufa ila unendekeza hisia za kijinga,,mmmh alishakuonyesha kila dalili kua penzi lenu limeisha ila ujinga umeujaza moyoni๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Umechagua kukwama pasipo na kisiki wala kutosimama penye nguzo. Sio kwamba hakujali ila wewe ndie umekomaa kwa mtu asiyekupenda tena ...Mimi
Faiza nina kuambia amka bado hujachelewa๐Ÿคฅ๐Ÿคฅ

21/05/2026

Big shout out to my newest top fans! Nasor Kuga, Fatty Classic Musa, Yahya Kuzi, Brighton Katete, Razer Bonahz, Yusuph Hassan, Fashley Malika, Fuad Karama, Khadija Abdallah, Mbaga Bashiri, Chid Hamad, Da Sau

20/05/2026

K**a una mwanamke ukisema upo busy anakuelewa basi mtunze,
Ukisema hauna chochote anakuelewa na hapunguzi heshima mtunze.
Ukikosa kazi anakupa pole na haachi kukutia moyo,,Brooo mtunze huyo.
Ukikosa amani, ukipata hasara, ukipoteza matumaini anakua karibu yako bila hofu, mtuze.
K**a kipao mbele chake ni wewe kabla ya vitu na mali zako ,basi mtunze mara mbili.
Siku utakapohisi ni mjinga na amekosa pa kwenda utaipoteza lulu hiyo mikononi mwako,
๐Ÿ˜ข
Usimfanye afike hatua ya kujiuliza kwa nini alikupenda wewe bila sababu,. Mimi faiza nakushauri tunza hiyo lulu yako๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ข๐Ÿ’ข

20/05/2026

Unataka akufanyie nini kingine ndipo uamini k**a hakufai??
Ameshakuonesha michepuko yake na anachat nayo mbele yako.
Ameshazalisha wanawake wengine ukiwa kwenye mahusiano na yeye,,
Kila siku unakula block zisizo na adabu k**a kuku na banda lake
๐Ÿ˜ข
Leo anakutukana na kukuacha week kadhaa a anakurudia kwa magoti na machozi,,
Ameshakutolesha mimba za kutosha na ameshakuambia ueke uzazi wa mpango.
Unataka afanye nini??
Akutoe Figo akaiuze apate mtaji wa maisha sindio?? Amekataa kukutambulisha kwao,kwenu hajulikani ila mnaishi pika pakua mwaka wa pili huu,..
Kinachokufanya usiondoke ni nini?
Pesa anazokupa au mtoto uliezaa naye?Au ujinga wa moyo wako?
Unanifanya hata mimi nakosa cha kukusaidia๐Ÿ˜ข.
Unaheshimu ujinga wa hisia zako ikiamini ni mapenzi ya dhati kwake?
K**a bado hujazaa naye ondoka leo,tofauti ushakua fala kwake.sina sababu ya kuremba maneno,,nasema hivi ameshakuona kopo na mfuniko ,mjinga uliyekosa future,,
AMKA BINTI HAUJACHELEWA
โค๏ธโค๏ธโค๏ธ

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mombasa?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Mombasa